jaridahuru

Mitandao

WORLDCUP: HATIMAYE CAMEROON WAKUBALI KUKWEA PIPA KUELEKEA BRAZIL, NI BAADA YA KUONGEZEWA POSHO


Cameroon sasa wameenda Brazil baada ya mzozo kuhusu marupurupu yao kutatuliwa.
Wachezaji hao , almaarufu 'Indomitable Lions' walikuwa wamesusia kuingia kwenye ndege hadi marupurupu yao yaongezwe.
Akiwemo nyota wao mshambuliaji wa Chelsea, Samuel Eto'o, walikuwa wamegoma kuingia kwenye ndege hapo Jumapili asubuhi hivyo safari ikachelewa kwa zaidi ya saa 12.

Wachezaji hao walikuwa wakilalamikia kiwango cha fedha £61,000 ambazo walikuwa wamepangiwa kupewa wakisema hazingetosha.

Haijabainika vyema ni kiasi gani walichoongezewa ndio wakakubali safari.
Hata hivyo rais wa shirikisho la soka la Cameroon Bw.Joseph Owona amesema 'baada ya kuweka kila kitu wazi ,mzozo huo umetatuliwa na sasa hamna tatizo'.

Tatizo lililopo sasa kwa masimba hao ni kupata mkakati madhubuti wa kukabiliana vilivyo na timu za kundi lao A ambamo wamo miamba ya soka wenyeji Brazil, Croatia na Mexico.

Related

BURUDANI: JAMANI USANII NI KAZI, HAYA BABU TALE MENEJA WA DIAMOND AYAONGEA YA DIAMOND KWEUPEE..SOMA HAPA

Meneja wa Diamond, Babu Tale amesema kuwa wanampango wa kutoa nyimbo nne mfululizo hadi kufika mwezi wa tatu 2015, zikiwemo za Diamond na zingine alizofanya collabo na wasanii wa nje. “Huu mw...

BURUDANI: UMEISOMA ILE TWEET YA FID-Q KUHUSU KUFUNGWA KWA BONDIA CHEKA? ISOME HAPA MAANA!! AISEE UKWELI UNAUMA

Bondia maarufu Francis Cheka alihukumiwa kifungo cha miaka 3 gerezani tarehe  2 feb 2015 na adhabu ya kulipa faini ya milioni moja na laki sita baada ya kupatikana na hatiya ya kumpiga menej...

MICHEZO: KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA CHA BONDIA CHEKA CHAZUA GUMZO, WADAI NI UONEVU MKUBWA!

Bondia mashuhuri nchini muda mfupi uliopita amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela. Hiyo ina maana kuwa Cheka anaenda kutumikia kifungo hicho ambapo hakimu hajatoa nafasi yoyote ya fidia. Huku...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item