jaridahuru

Mitandao

MICHEZO: KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA CHA BONDIA CHEKA CHAZUA GUMZO, WADAI NI UONEVU MKUBWA!

Bondia mashuhuri nchini muda mfupi uliopita amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela.
Hiyo ina maana kuwa Cheka anaenda kutumikia kifungo hicho ambapo hakimu hajatoa nafasi yoyote ya fidia.
Hukumu hiyo imetokana na kosa la bondia hiyo kumpiga meneja wake aitwaye Bahati kwenye bar ya vijana social mjini Morogoro July 2 mwaka jana alipoenda kudai fedha zake.
Meneja huyo alilazwa hospitali kufuatia tukio hilo ambapo Cheka alidaiwa kumpiga ngumi. Katika kesi hiyo Cheka alikuwa anakana mashtaka.
Bondia huyo anaenda jela huku akiwa anashikilia mkanda wa dunia wa WBF Super Middleweight.

Related

Michezo 5826680995594378073

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item