jaridahuru

Mitandao

KIMATAIFA: BOKO HARAM WABADILISHA NIA KWA WASICHANA, WAKATAA KUWAACHIA KWA HOFU YA KUKAMATWA


Kiongozi mmoja wa kanisa la kianglikana anayehusika katika majadiliano ya kuwaachilia huru mamia ya wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria amesema kuwa wengi wao wanazuiliwa nje ya taifa hilo katika kambi tatu tofauti.
Daktari Steven Davis ambaye ni raia wa Australia ameiambia BBC kwamba wenzake waliwaona baadhi ya wasichana hao ambao walikuwa wakioga na upande mwengine kuwapikia waliowateka kutoka kwa kundi la wanamgmbo wa Boko Haram.
Davis amesema kuwa majadiliano ya kutaka kuwachiliwa kwa wasichana hao karibia yafue dafu kabla ya baadhi ya makamanda wa kundi hilo kulipinga wazo hilo dakika za mwisho wakihofia kukamatwa.
Amesema juhudi zozote za kuwanusuru wasichana hao kwa nguvu hazitafua dafu.

Related

KIMATAIFA: ISRAEL YASEMA ITAJILINDA NA KIKUNDI CHA HAMASS, YASEMA ITALISABARATISHA KUNDI HILO

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Israel inatakiwa kujiandaa kwa ajili ya mpango wa muda mrefu katika Gaza. Hata hivyo ameelezea msimamo wake dhidi ya kundi la wapiganaji wa Hamas...

KIMATAIFA: BOKO HARAM YAZIDI KUUA NIGERIA, WATU WENGINE 25 WAUAWA KATIKA BOMU

Wanamgambo wa kiislamu, Boko Haram wamekuwa wakitekeleza mashambulizi kadha wa kadha ya mabomu na mauaji nchini Nigeria tangu walipoanza Operesheni yao mwaka 2009 wakiwa na nia ya kuunda nchi ya...

KENYA: MAUAJI MENGINE YA WATU WANNE HUKO KENYA YAWATISHA ZAIDI WAKAZI WA MOMBASSA

Watu wenye bunduki waliokuwa kwenye pikipiki wamewaua takriban watu wanne katika mji ulioko pwani ya Kenya Mombasa. Polisi inasema watu hao walikuwa wakifyatua ovyo risasi kwa wapita njia. Mji...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item