jaridahuru

Mitandao

KIMATAIFA: BOKO HARAM WABADILISHA NIA KWA WASICHANA, WAKATAA KUWAACHIA KWA HOFU YA KUKAMATWA


Kiongozi mmoja wa kanisa la kianglikana anayehusika katika majadiliano ya kuwaachilia huru mamia ya wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria amesema kuwa wengi wao wanazuiliwa nje ya taifa hilo katika kambi tatu tofauti.
Daktari Steven Davis ambaye ni raia wa Australia ameiambia BBC kwamba wenzake waliwaona baadhi ya wasichana hao ambao walikuwa wakioga na upande mwengine kuwapikia waliowateka kutoka kwa kundi la wanamgmbo wa Boko Haram.
Davis amesema kuwa majadiliano ya kutaka kuwachiliwa kwa wasichana hao karibia yafue dafu kabla ya baadhi ya makamanda wa kundi hilo kulipinga wazo hilo dakika za mwisho wakihofia kukamatwa.
Amesema juhudi zozote za kuwanusuru wasichana hao kwa nguvu hazitafua dafu.

Related

Kimataifa 9163745131949898097

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item