jaridahuru

Mitandao

BURUDANI: SOMA ALICHO KISEMA DIAMOND PLUTNUMZ BAADA YA KUKOSA TUZO MTV-MAMA AWARDS

 
Macho na masikio ya Watanzania wengi kwa siku ya Jumamosi June 07 yote yalielekezwa Durban Afrika Kusini,  sehemu ambako zilikua zikitolewa tuzo za wateule wa MTV Afrika Music Award ‘MAMA’. 
 
Furaha tuliyokuwa nayo Watanzania ilikua kubwa baada ya kuona kijana wetu toka nyumbani Tanzania akiwa ni miongoni mwa vijana wanaochuana kwenye tuzo hizo tena akiwa katika  vipengele viwili,ingawa bahati haikuwa njema kwa Diamond kwani hakufanikiwa kupata tuzo  yoyote.
 
Baada ya kutangazwa washindi hao na yeye kutokuwepo Dimaond Platnumz ameandika maneno haya kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii:

“Maisha ni Hatua.. Nafikiri kwa mwaka huu ile ndio ilikuwa hatua yetu kwa MTV…Cha muhimu ni kujua wapi tulipokua mwaka jana na wapi tulipo leo… pia kujifunza na kujua ni nini cha kuongeza zaidi ili Next tym tuzidi kufanya vyema…. 

“Shukrani zangu nyingi ziende kwa Mashabiki wote,Management, Media,Family, wasanii na wadau Mbalimbali kwani kwa nguvu zao ndio zimefanya leo kunisogeza toka sehem moja kwenda nyingine…Next step #BET!!!… Asante sana #Sheriangoi kwa Suti Hii”.
 
Diamond Platnumz alikuwa pia ni mmoja kati ya watumbuizaji wa ugawaji wa tuzo hizi,ambapo kwa namna alivyoingia kwenye jukwaa na Davido  ilimfurahisha kila mtu aliyekuepo ukumbini na watu waliokuwa wakiangalia nyumbani kupitia DSTV.

Related

BURUDANI: MIKOSI YAZIDI KUMUANDAMA WEMA SEPETU, ADATA BAADA YA KULIZWA NA SHOMBESHOMBE

 Staa wa sinema za  Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu. KUNA STAA wa sinema za  Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘ameingizwa mjini’ na mhariri wa fil...

AJALI: WATU WAWILI WAMEPOTEZA MAISHA BAADA YA AJALI MBAYA YA MAGARI MAWILI NA PIKIPIKI

Gari aina ya Rand Rover likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana uso kwa uso na Toyota Corolla. Gari dogo aina ya Toyota Corolla lilikiwa limeharibika viba...

SIASA: SUMAYE MAKAMBA VITA KALI URAIS 2015, SUMAYE ASEMA HAKUNA KIJANA YEYOTE MWENYE SIFA KUWA RAIS

WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu map...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item