jaridahuru

Mitandao

KENYA: MAUAJI MENGINE YA WATU WANNE HUKO KENYA YAWATISHA ZAIDI WAKAZI WA MOMBASSA

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/10/04/131004123300_mombasa_512x288_d_nocredit.jpg



Watu wenye bunduki waliokuwa kwenye pikipiki wamewaua takriban watu wanne katika mji ulioko pwani ya Kenya Mombasa.
Polisi inasema watu hao walikuwa wakifyatua ovyo risasi kwa wapita njia.
Mji huo wa Bandari umeshuhudia ghasia katika miezi ya hivi karibuni huku kukiwepo mashambulio ya mabomu na ufyetuaji wa risasi ambayo wanamgambo wa alshabaab kutoka Somalia wanatuhumiwa kuyatekeleza.

Related

Kimataifa 5800945007807579706

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item