jaridahuru
https://jaridahuru.blogspot.com/2016/10/tamko-la-duce-kuhusu-wanafunzi-wao.html
TAMKO
LA CHUO KUHUSU VITENDO WA UKATILI
VINAVYOHUSISHWA
NA WANACHUO WETU
Mkuu wa Chuo, uongozi na
jumuiya ya DUCE tumesikitishwa na taarifa ya vitendo vya ukatili
vinavyohusishwa na Wanachuo wetu watatu (3) waliokuwa kwenye mafunzo kwa
vitendo mkoani Mbeya, katika Shule ya Sekondari ya Kutwa Mbeya.
Kutokana
na taarifa hizo, Chuo kinalaani vitendo vya ukatili vya namna hiyo kwani
havikubaliki katika jamii na ni uvunjaji wa Sheria za Nchi, Chuo na nhaadili ya
taaluma ya ualimu.
Aidha,
Chuo kinaunga mkono hatua zilizokwishachukuliwa na kinashirikiana na vyombo vya
Serikali kuchukua hatua nyingine stahiki katika kulishughulikia suala hili.
Prof.
Wiliam AOL. Anangisye
Related
MICHEZO: MANJI ACHOMOZA TENA NA LINGINE
BAADA ya kimya cha muda mrefu, Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji ameibuka na kuzungumzia mambo kadhaa ya klabu hiyo, akibariki kuondoka kwa wachezaji wawili nyota, Didier Kavumbagu na Fran...
SIASA: "NDOA YA CHADEMA, NCCR, CUF NI UBABAISHAJI TU" Nape Nnauye
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni mwen...
Post a Comment

:noprob:

:smile:

:shy:

:trope:

:sneered:

:happy:

:escort:

:rapt:

:love:

:heart:

:angry:

:hate:

:sad:

:sigh:

:disappointed:

:cry:

:fear:

:surprise:

:unbelieve:

:shit:

:like:

:dislike:

:clap:

:cuff:

:fist:

:ok:

:file:

:link:

:place:

:contact:
Tabs
Za JuuMitandaoPiga Kura
Za Juu
-
Mmoja wa waasisi wa mtandao wa kijamii wa Instagram, amesema kuwa sheria zake kuhusu picha za uchi hazimbagui mtu yeyote. Kampuni hi...
-
Dar es Salaam. Harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015 zimeanza. Polisi wameanza mafunzo yatakayowaongezea uwezo wa kusimamia uchagu...
-
AMA kweli kufa kufaana! Lile bifu zito lililokuwa likitokota kati ya wapendwa wawili, Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu na mwi...








