BURUDANI: ALI KIBA AFUNGUKA KUHUSU WANAO IDISI VIDEO YAKE YA "MWANA" HIKI HAPA ALICHOSEMA
https://jaridahuru.blogspot.com/2015/01/burudani-ali-kiba-afunguka-kuhusu-wanao.html
Hatimaye
Alikiba ameamua kuwajibu baadhi ya wapenzi wa muziki walioikosoa video
ya wimbo wa ‘Mwana’ wanaodai kuwa haiendani na kile kinachoimbwa.
Akizungumza na 255 ya XXL ndani ya Clouds FM, Alikiba amesema
alichokifanya alimaanisha hivyo kuleta picha mpya kwenye vichwa vya
watu.
“Utofauti
wa video ndio uzuri wake kwa sababu kila mtu kwenye mind yake amejenga
video, ame-make video itakuwa vipi,” amesema. Kwa sababu nyimbo
imeelezea vitu vingi ni pana kama unavyoona na ina vitu vingi madawa,
ma-prostitute, ukabaji, wizi, vitu fulani vingi sana nisingeweza vyote
kuweka katika video kwa sababu kila mtu anamind yake. Kwahiyo
nilivyofanya utofauti nili-concetrate kwenye dancing na kucheza na
feeling za kuimba. Video nyingi zimeshafanyika duniani sio ya kwangu tu,
kwahiyo watu wasishangae vitendo havikuwepo nimemaanisha sio nimefanya
ili tu nitoe video.”
“Ule
utofauti uliokuwepo ndo uzuri wa video yenyewe. Professionals walifanya
hiyo video kwa sababu ni production kubwa iko na watu ambao wali script
vile vile kwahiyo tulishauriana na tuka be grateful for kufanya hicho
kitu. Dancing style inaitwa Kalila. Choreographer wangu ndio alifanya
hiyo yote kila kitu.”
~Bongo5