jaridahuru

Mitandao

BURUDANI: ALI KIBA AFUNGUKA KUHUSU WANAO IDISI VIDEO YAKE YA "MWANA" HIKI HAPA ALICHOSEMA


Hatimaye Alikiba ameamua kuwajibu baadhi ya wapenzi wa muziki walioikosoa video ya wimbo wa ‘Mwana’ wanaodai kuwa haiendani na kile kinachoimbwa.

Akizungumza na 255 ya XXL ndani ya Clouds FM, Alikiba amesema alichokifanya alimaanisha hivyo kuleta picha mpya kwenye vichwa vya watu.

Utofauti wa video ndio uzuri wake kwa sababu kila mtu kwenye mind yake amejenga video, ame-make video itakuwa vipi,” amesema. Kwa sababu nyimbo imeelezea vitu vingi ni pana kama unavyoona na ina vitu vingi madawa, ma-prostitute, ukabaji, wizi, vitu fulani vingi sana nisingeweza vyote kuweka katika video kwa sababu kila mtu anamind yake. Kwahiyo nilivyofanya utofauti nili-concetrate kwenye dancing na kucheza na feeling za kuimba. Video nyingi zimeshafanyika duniani sio ya kwangu tu, kwahiyo watu wasishangae vitendo havikuwepo nimemaanisha sio nimefanya ili tu nitoe video.

Ule utofauti uliokuwepo ndo uzuri wa video yenyewe. Professionals walifanya hiyo video kwa sababu ni production kubwa iko na watu ambao wali script vile vile kwahiyo tulishauriana na tuka be grateful for kufanya hicho kitu. Dancing style inaitwa Kalila. Choreographer wangu ndio alifanya hiyo yote kila kitu.”
~Bongo5

Related

Habari Mpya 7671328328871168754

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item