jaridahuru

Mitandao

SIASA: VIONGOZI WA CHADEMA KUONJA CHUNGU YA KUFANYA MAANDAMANO BILA KIBALI

Viongozi wa Chadema mkoani Dodoma mara baada ya kuachiwa kwa dhamana
Viongozi wa Chadema mkoani Dodoma mara baada ya kuachiwa kwa dhamana
Tundu Lissu akiwa na Viongozi wa Chadema mkoani Dodoma wanaoshitakiwa kwa kufanya kusanyiko bila kibali.
Tundu Lissu akiwa na Viongozi wa Chadema mkoani Dodoma wanaoshitakiwa kwa kufanya kusanyiko bila kibali.

Viongozi wa Chadema wa mkoani Dodoma wako matatani baada ya kushitakiwa kwa kosa la kufanya kusanyiko bila kibali mkoani humo mnamo sept 18 mwaka huu.

Hatua hiyo imetokana na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe kuitisha maandamano Tanzania nzima ya kupinga Bunge maalumu la katiba linaloendelea mkoani Dodoma hatua ambayo imepingwa vikali na jeshi la Poliisi nchini Tanzania.

Viongozi hao wote kwa pamoja wanatetewa na Mwanasheria wa chama hicho Tundu Lissu ambapo wameachiwa huru kwa dhamana.

Related

Siasa 1796756276471511354

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item