SIASA: VIONGOZI WA CHADEMA KUONJA CHUNGU YA KUFANYA MAANDAMANO BILA KIBALI

Hatua hiyo imetokana na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe kuitisha maandamano Tanzania nzima ya kupinga Bunge maalumu la katiba linaloendelea mkoani Dodoma hatua ambayo imepingwa vikali na jeshi la Poliisi nchini Tanzania.
Viongozi hao wote kwa pamoja wanatetewa na Mwanasheria wa chama hicho Tundu Lissu ambapo wameachiwa huru kwa dhamana.