jaridahuru

Mitandao

SIASA: MNYIKA AANZA KUONESHA CHECHE ZAKE, AKOMALIA KUVUNJWA KWA BUNGE LA KATIBA



Hatimaye Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, bado ameendelea kulia na Bunge maalumu la katiba ambapo amemtaka Rais Jakaya Kikwete kulivunja Bunge hilo.

Aidha, Mnyika ametoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo vijana wa vyama rafiki wa Chadema lengo likiwa ni kuwaandaa kwenye masuala ya uongozi.

Mafunzo hayo ni mwendelezo wa yale ambayo hutolewa na Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia Afrika (DUA), kwa mwaka huu yamehusisha vijana kutoka Kenya, Uganda na Tanzania.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Patrobass Katambi, amesisitiza kuwa wanataka katiba inayokubaliwa na Watanzania wote ambayo itakuwa na tija kwao.

Related

Siasa 2231575325728593249

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item