jaridahuru

Mitandao

SOKA: ARSENAL YAITANDIKA MAN CITY GOLI 3-0 NA KUNYAKUA KOMBE LA NGAO YA JAMII UINGEREZA

Arsenal wakiwa na Ngao ya Jamii baada ya kuipiga Manchester City 3-0.
Santi Carzola akishangilia bao lake la kwanza kwa Arsenal.
Aaron Ramsey akifunga bao la pili kwa Arsenal.
Bao la tatu la Arsenal lililofungwa na Olivier Giroud.

Raha ya ushindi.
KLABU ya Arsenal imefanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii baada ya kuichapa Manchester City mabao 3-0 katika mechi iliyopigwa Uwanja wa Wembley jijini London usiku huu. Mabao ya Arsenal yamewekwa kimiani na Cazorla 21, Ramsey 42 na Giroud 60.

Related

Worldcup 2014 1852006712093490181

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item