jaridahuru

Mitandao

RUVUMA: ASKARI POLISI MBARONI KWA KUMPIGA RISASI DEREVA BODABODA MKOANI RUVUMA

kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma ACP Mihayo Msikhela akitoa ufanunuzi kuhusu Askari Polisi kumpiga risasi bodaboda.
kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma ACP Mihayo Msikhela akitoa ufanunuzi kuhusu Askari Polisi kumpiga risasi bodaboda.

Wananchi mkoani Ruvuma wamechukizwa na kitendo cha askari Polisi kumpiga risasi tatu mwendesha Bodaboda aliyefahamika kwa jina la Salumu Ndunguru mkazi wa kata ya Ruvuma mkoani Ruvuma

Aidha risasi hizo zimemjeruhi kwenye kiganja cha kushoto na paja la kushoto ambapo risasi ya tatu ilnasa kwenye simu ya kiganjani. Askari huyo alifanya tukio hilo kufuatia kutoelewana baina yake na Mwendesha Bodaboda huyo.


Kwa upande mwingine kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma ACP Mihayo Msikhela amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema askari wawili waliohusika na tukio hilo wamewekwa mahabusu na hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao uchunguzi utakapokamilika.

Related

Jamii 7641277757371712944

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item