jaridahuru

Mitandao

SIASA: TAMKO LA CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA LA WASHANGAZA WENGI, WADAI HATA RAIS NI KIGEUGEU

 1_aa874.jpg


 
"Mchakato wa Katiba ni mchakato wa Kisiasa.
Mchakato ukiharibiwa, hutengeneza Ombwe.
Makundi mbalimbali yamekuwa yakitoa wito ili kuokoa mchakato wa Katiba.
Rai ya kututaka UKAWA kurudi bungeni, bado haijazingatia yale yaliyotufanya tutoke Bungeni.
Viongozi wa UKAWA tumekaa na kujadili kwa kina.


Ni uwendawazimu kurudi bungeni kwa mazingira yale yale.
UKAWA tumechukua nafasi kuziba Ombwe la uongozi wa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.
Tuna ushahidi wa namna CCM wanavyopanga kuvuruga mchakato wa Katiba.
Sisi tutapanga namna ya kuandaa Plan B.
Hatuko tayari kwenda kwenye uchaguzi Mkuu mwakani kwa Sheria hizi hizi.

Siku ya Jumapili baada ya vikao hivi, tutatoka na maazimio na tutaongea na vyombo vya Habari.
Tutakaa na kujadili kwa kina kwenye vikao hivi vya leo na kesho, pamoja na agenda nyingine, lakini ni lazima tutoke na maamuzi mazito.

Tunamtaka Rais aache tabia ya ukigeugeu.
Tunamtaka Rais kwa muda mchache aliobakia madarakani, ajifunze hata kwa kujilazimisha, aache tabia ya unafiki".
Mhe.Mbowe ameyasema hayo kwa niaba ya Chama katika hotuba yake fupi ya ufunguzi wa vikao vya Kamati Kuu ya CHADEMA vinavyoendelea hivi sasa katika Ukumbi wa Mbezi Garden Hotel iliyopo Mbezi Beach Jijini Dar Es Salaam.
Mhe.Tundu Antipus Lissu,
Mjumbe Kamati Kuu,
CHADEMA.
18/07/2014.
Ahsanteni sana!!!

Related

SIASA: "UKAWA NI KAMA BOKO HARAM" Nape Nnauye

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amesema kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni kundi  hatari linaloeneza chuki na kusambaza uongo...

SIASA: VIONGOZI WANAO WABEZA WABUNGE KUTAJWA BUNGENI

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amemtaka Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kusini Deosderius Mipata (CCM) kuwataja viongozi wa Serikali wanaobeza wabunge katika suala zima la utekelezaji wa maendeleo katika maene...

SIASA: MADIWANI WAIGEUKA CCM, WADAI WAMECHOKA KUTUMIWA

WAJUMBE wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (Alat), ambao wengi ni madiwani wamepinga utaratibu wa Uchaguzi Mkuu, kutumiwa na wananchi kuchagua rais, wabunge na madiwani. Kutokana na hatua hiyo, wajumbe...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item