jaridahuru

Mitandao

UEFA: SANCHEZ AIPAISHA ARSENAL KUINGIA HATUA YA MAKUNDI BAADA YA KUPACHIKA GOLI LA KWANZA ARSENAL.

Mchezaji kutoka chile aliyekuwa akikipiga Barcelona na kununuliwa Arsenal Alexis Sanchez, ameipa timu ya Arsenali nafasi ya kuingia hatua ya makundi katika klabu bingwa ulaya baada ya kucheka na nyavu kwa mara ya kwanza toka atue klabuni hapo.
Sanchez ambaye alimalizia kazi nzuri ya jack wilshere alitupia goli hilo mnamo dakika ya kwanza ya nyongeza ya kipindi cha kwanza.
Hata hivyo kipindi cha pili kilionekana kuwa kigumu zaidi hasa baada ya beki wa arsenal Mathieu Dibuchy kupewa kadi ya nyekundu na kutoka nje. 

Washika mitutu hao walijitahidi kuzuia goli hadi mpira unaisha ikawa ni Arsenal 1:0 Besiktas
FULL-TIME: Arsenal 1-0 Besiktas (agg 1-0)
Arsenal qualify for the Champions League group stage.
Done it: Arsenal boss Arsene Wenger celebrates the Gunners reaching the Champions League group stages
Tough in the tackle: Jack Wilshere of Arsenal and Veli Kavlak of Besiktas challenge for the ball.
Seeing red: Arsenal's Mathieu Debuchy is sent off for a second bookable offence

On target: Alexis Sanchez scored the opening goal for Arsenal on the cusp of half-time Up and running: Alexis Sanchez celebrates scoring his first goal for Arsenal

Related

Sports 898275852079206690

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item