jaridahuru

Mitandao

KITAIFA: TUME YA HAKI ZA BINADAMU YAIOMBA SERIKALI KUCHUKUA HATUA KALI DHIDI YA WAUAJI WA ALBINO

1090.story_x_large

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB) imeiomba Serikali kufanya jitihada kubaini wanaofadhili na kutekeleza vifo vya Albino.Kwa mujibu wa Kamishna wa Tume hiyo Ali Hassan Rajabu vitendo hivyo vinaenda kinyume na katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 kifungu cha 12(2) kinachoitaka jamii kutambua na kutathmini utu wa mtu na kifungu cha 14 kinachotaka kila mtu kupata hifadhi ya maisha yake.

Bw. Rajabu ametoa kauli hii leo mjini Dar es Salaam katika taarifa ya vyombo vya habari ambayo inalaani mauaji na ukataji wa viungo vya albino vilivyotokea hivi karibuni hapa nchini.

Related

Kitaifa 1660310448770675190

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item