jaridahuru
https://jaridahuru.blogspot.com/2014/08/tz-morocco-yaitolea-nje-taifa-stars.html
Baada ya kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Mart Nooij kutangaza
kikosi kitakacho cheza na timu ya Taifa ya Morocco mchezo wa kirafiki
hapo Septemba 5, waarabu hao wamefuta ombi lao la kujipima na Tanzania
kama walivyo oba awali.
Morocco ndio iliomba kucheza na Tanzania katika tarehe hiyo lakini
wametuma ujumbe katika shirikisho la soka Tanzania kuwa hawata weza
kucheza mchezo huo.
Akizungumza na mwandishi wetu Katibu mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa
amesema kuwa Morocco wameghairi kucheza wakidai kuwa asilimia kubwa ya
wachezaji wa timu hiyo wako kwenye michuano mbali mbali kwenye klabu zao
na hivyo hawata weza kuacha na kuja kucheza mchezo wa kirafiki.
Baada ya Wamorocco hao kujiondoa huku kikosi cha Taifa Stars
kikitarajia kuingia kambini Agosti 31, Kocha mkuu Nooij ameamua
kuichagua Burundi ili waweze kujipima katika tarehe hiyo.
Kwa mara ya mwisha Tanzania na Burundi zilipokutana Stars ililala
chini kwa kichapo cha bao 3-0 mbele ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa
Tanzania Dk. Jakaya M. Kikwete katika sherehe za muungano.
Related
CURLING: VAN GAAL WA MAN U ADAI ALITEGEMEA KIPIGO WALICHOPATA CHA 4:0 USIKU WA JUMANNE
Mshambuliaji Javier Hernandez Chicharito kulia wa Man United akigombea mpira na beki wa MK Dons Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amesisitiza kuwa “hakushtushwa kamwe” kwa kiko...
UEFA: SANCHEZ AIPAISHA ARSENAL KUINGIA HATUA YA MAKUNDI BAADA YA KUPACHIKA GOLI LA KWANZA ARSENAL.
Mchezaji kutoka chile aliyekuwa akikipiga Barcelona na kununuliwa Arsenal Alexis Sanchez, ameipa timu ya Arsenali nafasi ya kuingia hatua ya makundi katika klabu bingwa ulaya baada ya kucheka na...
KAGAME CUP-RWANDA 2014: SAFU ROBO FAINALI YAKAMILIKA, MECHI KUCHEZWA JUMANNE NA JUMATANO
Rayon FC Mechi za Makundi za Mashindano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Kagame Cup, yanayoendelea huko Kigali, Rwanda zimekamilika hii Leo na safu ya Robo Fainali kutimia. Robo Fa...
Post a Comment

:noprob:

:smile:

:shy:

:trope:

:sneered:

:happy:

:escort:

:rapt:

:love:

:heart:

:angry:

:hate:

:sad:

:sigh:

:disappointed:

:cry:

:fear:

:surprise:

:unbelieve:

:shit:

:like:

:dislike:

:clap:

:cuff:

:fist:

:ok:

:file:

:link:

:place:

:contact:
Tabs
Za JuuMitandaoPiga Kura
Za Juu
-
Mmoja wa waasisi wa mtandao wa kijamii wa Instagram, amesema kuwa sheria zake kuhusu picha za uchi hazimbagui mtu yeyote. Kampuni hi...
-
Dar es Salaam. Harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015 zimeanza. Polisi wameanza mafunzo yatakayowaongezea uwezo wa kusimamia uchagu...
-
AMA kweli kufa kufaana! Lile bifu zito lililokuwa likitokota kati ya wapendwa wawili, Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu na mwi...







