jaridahuru

Mitandao

KIMATAIFA: ISRAELI YAANZA MASHAMBULIZI UPYA GAZA BAADA YA KUISHA MASAA SABA YA KUSITISHA MAPIGANO


Majeshi ya Israel imeanza tena upya operesheni yake ya mashambuzi katika eneo la Gaza baada ya kumalizika kwa saa 7 za kusitisha mapigano lililotolewa na na Israel kwa ajili ya huduma za kibinadamu katika baadhi ya mipaka ya Israel.

Waziri Mkuu wa Palestina Benjamini Netanyau amesema operesheni hiyo itaendelea hadi hapo hali ya usalama na utulivu utakaporejea nchini Israel.

Japokuwa kumekuwa na kupungua kwa kiwango cha mashambulizi nyakati za mchana, Wapalestina wameilaumu Israel kwa kuikuka walichokipanga wenyewe cha usitishaji wa mapingano na badala yake ikashambulia kwa bomu kambi ya wakimbizi katika eneo la kaskazini mwa Gaza na kuua mwanamke mmoja na mtoto wa miaka nane.

Israel imesema kwamba wapiganaji wa kiislamu wameendeleza upigaji wa mabumu katika ardhi ya Israel.

Katika mji wa Jerusalemu, Israel mwisreel mmoja aliuawa wakati trekta ya kuchimba mchanga ilipogonga basi jambo ambalo Israel imesma ni shambulio la kigaidi.

Related

Kimataifa 1800328477875110100

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item