jaridahuru

Mitandao

AFYA: DAKTARI ALIYEMTIBU MGONJWA WA EBOLA NIGERIA AAMBUKIZWA UNGONJWA HUO HATARI

Daktari aliyemtibu mgonjwa wa Ebola ameabukizwa nchini Nigeria 

Daktari mmoja jijini Lagos Nigeria aliyemtibu mgonjwa aliyefariki kutokana na homa ya Ebola amepatikana ameambukizwa na maradhi hayo.

Daktari huyo ambaye alimtibu mfanyikazi wa wizara ya hazina nchini Liberia aliyepatikana na homa hiyo ya Ebola na kuwa mtu wa kwanza kuaga dunia nchini Nigeria sasa amedhibitishwa kuambukizwa .

Waziri wa afya nchini humo Onyebuchi Chukwu amesema kuwa daktari huyo pamoja na watu wengine 70 waliokutana na marehemu wametengwa kwa uchunguzi na matibabu zaidi.

Mataifa yaliyoathirika na homa ya Ebola

Patrick Sawyer alitua nchini Nigeria Julai tarehe 20 na akafa tarehe 25 katika hospitali moja mjini Lagos.

Mlipuko huu wa ugonjwa wa ebola katika ukanda wa magharibi mwa Afrika umesababisha vifo vya watu zaidi ya 826 katika mataifa ya Guinea, Liberia na Sierra Leone.

Related

JAMII: ASKARI POLISI AUAWA KINYAMA HUKO CHANG'OMBE DODOMA AKIJARIBU KUMUOKOA MTOTO KUTOKA KWA BABA YAKE

Leo tarehe 04.02.2015 majira ya saa 11:00 limetokea tukio baya na la kusikitisha la kuuawa kwa askari wa Polisi Mkoa wa Dodoma namba G.7168 PC JOSEPH ISACK SWAI.      ...

UDAKU: BINTI WA SEKONDARI ATOKA NA KIGOGO BAADA YA KUACHANA KIGOGO ARUSHA PICHA ZAKE ZA UCHI MTANDAONI TAZAMA HAPA

Tatizo ni pesa ndio kitu kinachofanya wanafunzi wa vyuo kupiga picha za utupu na baadhi ya watu soma kisa hiki Anaitwa M****a,Mwanafunzi wa shule ya sekondari,ST **** Mwaka Jana akiwa...

JAMII: KALE KAMCHEZO ANAKOKATAZA MZEE WA MICHEPUKO SIO DILI KAWAGANDISHA WATU GESTI! CHEKI WALIVYOGANDANA

NI shida! Wakazi wa Mlandizi mkoani Pwani mwishoni mwa wiki iliyopita walijikuta wakishinda nje ya nyumba moja ya kulala wageni iitwayo Kilimahewa Guest House baada ya kuwepo taarifa za watu wawili,...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item