jaridahuru

Mitandao

JAMII: POZI 6 KALI KATIKA HARUSI YA MBUNGE WA CHADEMA, Mhe. NASSARI HUKO ARUSHA

1
Hatimae mbunge wa Arumeru mashariki mh. Joshua Nassari na Bi. Anande Nnko wafunga pingu za maisha na kuwa mwili mmoja katika kanisa la Kilinga na baada ya hapo kuelekea katika viwanja vya Usa- River Academy ambako ndiko sherehe ilipofanyika.
Siku ya Jumamosi tarehe 7 Juni 2014 itakumbukwa na wawili hawa kama siku yao ya kumbu kumbu ya ndoa yao, pamoja na wageni wengi waliojitokeza, viongozi wa kiserikali pamoja na wale wa kisiasa, taasisi na dini walikuwepo kwa wingi. Tunawatakia ndoa njema na Mungu awalinde.
23456

Related

Jamii 2801547359564864545

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item