jaridahuru

Mitandao

EPL: SAMWEL ETOO SASA ALAMBA MKATABA MPYA WA MIAKA 2 EVERTON. AAHIDI KUFANYA MAKUBWA

Samwel Eto'o akisaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Everton.
Samwel Eto’o akisaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Everton.
Everton imetangaza kumsajili mshambuliaji Mcameroon, Samuel Eto’o kwa mkataba wa miaka miwili kama mchezaji huru.

Mpachika mabao huyo mwenye umri wa miaka 33 alitemwa na Chelsea mwishoni mwa msimu uliopita na amejiunga na Everton baada ya dili la kujiunga na Liverpool kushindikana.

Liverpool ilitaka kumsajili Eto’o iwapo ingemkosa Mario Balotelli, lakini baada ya kumnasa mtukutu huyo, dili hilo limekufa kifo cha kawaida.
Eto'o akiwaameshikiria jezi ya Everton
Eto’o akiwaameshikiria jezi ya Everton

Related

Worldcup 2014 8486547166307820923

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item