jaridahuru

Mitandao

EPL: SAMWEL ETOO SASA ALAMBA MKATABA MPYA WA MIAKA 2 EVERTON. AAHIDI KUFANYA MAKUBWA

Samwel Eto'o akisaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Everton.
Samwel Eto’o akisaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Everton.
Everton imetangaza kumsajili mshambuliaji Mcameroon, Samuel Eto’o kwa mkataba wa miaka miwili kama mchezaji huru.

Mpachika mabao huyo mwenye umri wa miaka 33 alitemwa na Chelsea mwishoni mwa msimu uliopita na amejiunga na Everton baada ya dili la kujiunga na Liverpool kushindikana.

Liverpool ilitaka kumsajili Eto’o iwapo ingemkosa Mario Balotelli, lakini baada ya kumnasa mtukutu huyo, dili hilo limekufa kifo cha kawaida.
Eto'o akiwaameshikiria jezi ya Everton
Eto’o akiwaameshikiria jezi ya Everton

Related

SOKA: TP MAZEMBE, SETIF ZATINGA HATUA ZA NUSU FAINALI KLABU BINGWA BARA LA AFRIKA

Setif imejiunga na Mazembe katika kufuzu nusu fainali Timu ya Algeria, Entente Setif, imefuzu kwa michuano ya nusu fainali kom...

SOKA: LIVERPOOL YAANZA KUONESHA MAKALI YA MSIMU UJAO, YACHABANGA BORUSIA 4:0

Liverpool inajianda kwa msimu mpya wa ligi ya Uingereza Mshambulizi wa Liverpool Dejan Lovren aliifungia the Reds bao lake la k...

SOKA: ARSENAL YAITANDIKA MAN CITY GOLI 3-0 NA KUNYAKUA KOMBE LA NGAO YA JAMII UINGEREZA

Arsenal wakiwa na Ngao ya Jamii baada ya kuipiga Manchester City 3-0. Santi Carzola akishangilia bao lake la kwanza kwa Arsenal. Aaron Ramsey akifunga ba...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item