jaridahuru

Mitandao

ELIMU: KERO YA WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI KUKATISHWA MASOMO YAPATIWA MUAROBAINI WAKE

Kutomaliza masomo ni moja ya kero kubwa kwa wanafunzi mkoani Morogoro.
Kutomaliza masomo ni moja ya kero kubwa kwa wanafunzi mkoani Morogoro.

Wanafunzi kushindwa kumaliza masomo yao ni changamoto kubwa katika sekta ya elimu ambayo serikali inatakiwa kutafuta ufumbuzi.

Kutokana na changamoto hiyo akiwa wilayani Mvomero mkoani Morogoro katika ziara yake Rais Jakaya Kikwete amewaagiza viongozi wa mkoa wa Morogoro kutafuta majibu ya kumaliza tatizo la wanafunzi wanaoanza kidato cha kwanza kushindwa na kumaliza elimu ya sekondari.

Rais Kikwete ameongeza kwamba lengo la serikali ni kutengeneza taifa la wasomi lakini inashangaza kuona kwa wilaya ya Mvomero zaidi ya asilimia 58 ya wanafunzi waliojiunga na kidato chaa kwanza miaka minne iliopita wameshindwa kumaliza elimu ya sekondari kutokana na sababu mbalimbali na kuagiza viongozi kushughulikia tatizo hilo.

Kwa upande mwingine Dr Kikwete akiwa wilayani Gairo amepata fursa ya kutembelea mradi wa maji ambao unafadhiliwa na benki ya dunia kwa gharama ya shilingi bilioni 6.6 pia amezindua chumba cha upasuaji ambacho kimegharimu shilingi milioni 82.

Related

Habari Mpya 8871512080747510758

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item