jaridahuru

Mitandao

USAJILI: MONACO YAINGIA VITANI NA REAL MADRID KUISAKA SAINI YA TORRES

article-2702058-1FE098CC00000578-953_634x433
Monaco na Atletico Madrid wanaitaka saini ya Fernando Torres.
KLABU ya Monaco imeingia katika vita na Atletico Madrid kuiwinda saini ya mshambuliaji wa Chelsea, Fernando Torres.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Hispania mwenye miaka 30 anahitaji kutafuta timu ya kupata nafasi ya kucheza, lakini Chelsea watasikiliza ofa nzuri zaidi.

Related

Worldcup 2014 4142972417261011251

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item