TECHNOLOJIA: JIFUNZE JINSI YA KU 'UNLOCK' MODEM YAKO. (KISWAHILI)

Inawezekana umejiuliza kwa mara nyingi ni jinsi gani unaweza kutumia line za mitandao yote katika modem yako bila kupata jibu.
Usijali, leo Jarida Huru inakupa uwezo wa kujifungulia modem yako bila wasi wasi, ni rahisi sana tafadhali fuata maelekezo kwa usahihi.
Kwanza utahitaji:
- Kompyuta
- Modem iliyofungwa
- Line ya simu batili yani ambayo haikubali kusoma mtandao katika modem yako
- Modem
- Programu ya DC Unlocker Client. (Download hapa)
Huawei E367
- E367u-1_1G
- E367u-2_1G
- E367u-6_1G
- E367u-8_RFMD
- E367u-8_AVAGO
Huawei E353
- E353u-1_1G
- E353u-2_1G
- E353u-6_1G
Ngazi:
- Pekua na Install hiyo programu kwenye compyuta yako.
![]() | ||||||||||||
Fungua faili fungate (zip file) ya dc-unlocker_client-1.00.0597_2.exe. |
mr!. Ebwana naomba msaada wa Ku unlock modem yangu isome mitandao yote. Kwa sasa imefungwa na airtel pekee.
ReplyDeleteModel: E3531
IMEI: 864712023351229
HUAWEI
Mawasiliano yangu
pawaga83@gmail.com
Unafanya bei gani