jaridahuru

Mitandao

TEKNOLOJIA: SEKTA YA AFYA YAZINDUA MASHINE MPYA YA KUTIBU BILA KUMEZA DAWA IITWAYO CERAGYM V3

Mkurugenzi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki, Nam Chae Woo,(kulia) akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Dafa Ceragem, Edmund Mndolwa jinsi mashine mpya ya Ceragem V3 inavyofanya kazi , wakati wa uzinduzi wa mashine hiyo inayotumia teknolojia ya hali ya juu katika kutibu magonjwa mbalimbali bila ya mgonjwa kumeza dawa au kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali hapa nchini .
Mzee Fransis Kavishe na Bi Ashura Salum,wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kansa wakifunua kitambaa, kuashiria uzinduzi wa Mashine mpya ya Ceragem V3  inayotumia teknolojia ya hali ya juu katika kutibu magonjwa mbalimbali bila ya mgonjwa kumeza dawa au kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali hapa nchini,pamoja nao katika picha ni Mkurugenzi wa Dafa Ceragem, Edmund Mndolwa,Mkurugenzi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki, Nam Chae Woo, na Patricia Mndolwa.
Mzee Fransis Kavishe na Bi Ashura Salum,wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kansa wakikata utepe, kuashiria uzinduzi wa Mashine mpya ya Ceragem V3 inayotumia teknolojia ya hali ya juu katika kutibu magonjwa mbalimbali bila kumeza dawa wala kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali hapa nchini,Pamoja nao katika picha ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki, Nam Chae Woo, Mkurugenzi wa Dafa Ceragem, Edmund Mndolwa.
Baadhi ya Wagonjwa na wafanyakazi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki wakifuatilia hotuba ya Uzinduzi waMashine mpya ya Ceragem V3  inayotumia teknolojia ya hali ya juu katika kutibu magonjwa mbalimbali bila ya mgonjwa kumeza dawa au kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali nchini.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki, Nam Chae Woo, akizungumza na baadhi ya wagonjwa na wafanyakazi wa Dafa Ceragem wakati wa Uzinduzi wa Ceragem V3 inayotumia Teknoloji ya hali ya juu katika kutibu Magonjwa mbalimbali bila kumeza dawa wala kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali hapa nchini.Katika picha kutoka kushoto, Patricia Mndolwa,  Mkurugenzi wa Dafa Ceragem, Edmund Mndolwa, na Mgeni Mualikwa Bi. Lydia Mushumbusi.

Related

TEKNOLOJIA: TUME YA UCHAGUZI 'NEC' YAENDELEZA UTATA ZABUNI YA MASHINE ZA KUPIGIA KURA 'BVR'

TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini (NEC), imezidi kuibua utata kuhusiana na gharama halisi za kupata mzabuni wa kuboresha daftari la kudumu la kupigia kura kwa njia ya kielektroniki, (BVR), ba...

TEKNOLOJIA: JE UNAFAHAMU KAMA TAARIFA ZAKO ZA MATUMIZI YA SIMU ZIKO SALAMA? JE MITANDAO YA SIMU INA USIRI?

Ukikutana na Watanzania 10 angalau nusu yao watakuwa na kifaa au vifaa vya mawasiliano kama  simu na kompyuta. Vifaa hivi vimesajiliwa kwa majina yao na taarifa zao nyingine ambazo zinawez...

TEKNOLOJIA: TCRA YAONYA WANAOWADHALILISHA WENZAO KWENYE MTANDAO, YAAHIDI KUWAFIKISHA MAHAKAMANI

MAMLAKA ya mawasiliano nchini ,TCRA, imewaonya wale wote wanaotumia mitando kuchafua na kudhalilisha watu waache mara moja vinginevyo watakabiliwa na mkono wa sheria.   Onyo hilo limet...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item