jaridahuru
https://jaridahuru.blogspot.com/2014/07/siasa-viongozi-wapya-chadema-kurindima.html
UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wilaya ya kichama
Ubungo unatarajiwa kujulikana Agosti 3 mwaka huu baada ya uchaguzi wa
ngazi za chini katika wilaya hiyo kukamilika.
Mbali na viongozi wa wilaya hiyo kujulikana siku hiyo, pia chama
hicho kimeeleza kuwa, kimejiandaa vema kuwadhibiti mamluki wasijipenyeze
katika uongozi huo.
Hayo yalibainishwa na Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Ubungo, Goodluck
Justine, wakati akielezea mafanikio yaliyopatikana katika uchaguzi wa
ngazi za msingi, matawi na kata.
Justine alisema, ni fursa kwa kila mwanachama muadilifu wa CHADEMA Wilaya ya CHADEMA Ubungo kuwania nafasi anayoona ataimudu.
Aliongeza kuwa, katika uchaguzi wa ngazi za chini, chama hicho kimefanikiwa kujiimarisha na kuongeza wanachama zaidi.
Alisema, fomu zimeanza kutolewa jana na mwisho wa kuchukua na kurejesha itakuwa Agosti Mosi saa 10 jioni
Related
SIASA: WARIOBA AVIONYA UKAWA,CCM. AWATAKA WAACHE KUZUNGUKA NCHINI KISIASA KWA MWAMVULI WA KATIBA MPYA
Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashauri wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na CCM kuacha kuzunguka mikoani kufanya mikut...
SIASA: UKAWA SASA KUUNGWA MKONO NA VIONGOZI WA CCM, MWIGULU APINGA BUNGE MAALUM KUONGEZWA MUDA
MJADALA wa Bunge Maalumu la Katiba, umeanza kuibuka upya wakati Bunge la Bajeti likienda ukingoni ambapo Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Tanzania Bara, Mwigulu Nchemba ameibuka na hoja ya kupinga nyon...
Post a Comment

:noprob:

:smile:

:shy:

:trope:

:sneered:

:happy:

:escort:

:rapt:

:love:

:heart:

:angry:

:hate:

:sad:

:sigh:

:disappointed:

:cry:

:fear:

:surprise:

:unbelieve:

:shit:

:like:

:dislike:

:clap:

:cuff:

:fist:

:ok:

:file:

:link:

:place:

:contact:
Tabs
Za JuuMitandaoPiga Kura
Za Juu
-
Mmoja wa waasisi wa mtandao wa kijamii wa Instagram, amesema kuwa sheria zake kuhusu picha za uchi hazimbagui mtu yeyote. Kampuni hi...
-
Dar es Salaam. Harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015 zimeanza. Polisi wameanza mafunzo yatakayowaongezea uwezo wa kusimamia uchagu...
-
AMA kweli kufa kufaana! Lile bifu zito lililokuwa likitokota kati ya wapendwa wawili, Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu na mwi...








