jaridahuru

Mitandao

KITAIFA: JESHI LA WANANCHI (JWTZ) WATOA ONYO KALI KWA WANAOVAA NA KUUZA SARE ZA JESHI HILO

KUTOKANA na kuzidi kushamiri kwa matukio ya uhalifu nchini, huku wahusika wakionekana kutumia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jeshi hilo limeonya na kupiga marufuku wanaovaa sare za majeshi na kutumia vifaa vyao.
Taarifa iliyosambazwa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano Makao Makuu ya JWTZ kwa vyombo vya habari jana, inaeleza kuwa hivi karibuni kumekithiri kwa vitendo vya uovu huku wahusika wakiwa wameonekana wamevaa sare na kutumia vifaa vya jeshi hilo.

Related

Kitaifa 8683544591631833433

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item