jaridahuru

Mitandao

KIMATAIFA: SASA NJAA NA MAGONJWA YAIKUMBA SUDAN YA KUSINI BAADA YA MAKUBALIANO YA KUSITISHA VITA


Umoja wa Mataifa umeomba mchango wa dola bilioni moja kuwasaidia watu walioathirika na vita Sudan Kusini.

Baada ya miezi sita ya mapigano mkuu wa misaada wa Umoja wa Mataifa, Toby Lanzer, amesema watu milioni 7 wako katika hatari ya njaa na magonjwa.

Alieleza kuwa wengi waliokimbia makwao wanaishi kwenye matope kwa sababu msimu wa mvua umeshaanza; malaria imezagaa na kipindupindu kimezuka.

Awali juma hili serikali ya Sudan Kusini na wapiganaji walikubaliana kusitisha vita, lakini siku za nyuma makubaliano kama hayo yalikiukwa haraka.

Related

Kimataifa 343234159475379135

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item