JAMII: TBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI VYENYE THAMANI YA TSH 15 MILLIONI SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

https://jaridahuru.blogspot.com/2014/06/jamii-tbl-yatoa-msaada-wa-vifaa-vya.html
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa
(katikati)akikabidhiwa vifaa vya usafi vyenye thamani ya sh.mil. 15 na Ofisa
Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu katika hafla
iliyofanyika, Ilala, Dar es
Salaam, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani.
Salaam, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani.
Wafanyakazi wa TBL walishiriki kufanya usafi eneo la Karume, Ilala.
Kushoto ni Meneja Uhusiano wa TBL, Emma Oriyo.
Meneja wa Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia
Tanzania (TBL), Emma Oriyo
(kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani Dar es Salaam.
(kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani Dar es Salaam.
Meneja wa Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia
Tanzania (TBL), Emma Oriyo
(kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani Dar es Salaam.
(kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani Dar es Salaam.