jaridahuru

Mitandao

BURUDANI: LULU NA JOTI WAFUNGA NDOA, UTATA USIOELEWEKA WAIKUMBA SHEREHE YAO

Hatimaye Msanii Elizabeth Michael maarufu kama Lulu afunga Ndoa ya Kimya Kimya na Msanii wa Vichekesho Lucas Mhavile maarufu kama JOTI. Ndoa hiyo ya Kimya imefungwa siku chache zilizopita katika fukwe za Kiota cha Maraha cha Escape 1 Mikocheni.  
Mchungaji akiwafungisha Ndoa hiyo ambae pia ana kipawa cha Uchekeshaji na MC aitwaye Mc Pilipili.
 
Lulu akiwa katika vazi la Harusi kabla hajafunga ndoa hiyo.

Related

JAMII: KITOTO CHATUPWA MAENEO YA UDOM..YASEMEKANA BINTI WA CHUO

Wakati akina mama wengine wanakesha wakimuomba Mungu awabariki na watoto wengine wakikesha kwa sangoma nao wanaomba kupata watoto. Huyu mdada ameushangaza umma na kuwaacha watu midomo wazi baada y...

SIASA: ADHABU YA LOWASSA NA WENZAKE YANUKIA? NAPE AWATOLEA UVIVU, ADAI DAWA YAO NI......(SOMA HAPA)

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi katika ofisi kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar juu ya ratiba ya mchakato wa kupata wagombea&nbs...

GOSSIP: WEMA AMREPLACE RASMI D.(!).MO PLATNUMZ, NA ALLY DAXX..ADAI KWA DIAMOND ALIPOTEA NJIA TU!

Kwa kile kilichotegemewa kutoka kwa Miss Tanzania wa zamani kumreplace mpenzi wake wa zamani kwa muda mfupi kama kawaida yake, Imeripotiwa Rasmi kuwa sasa ni zamu ya mwanamitindo mtanzania anaye...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item