BURUDANI: BAADA YA KUACHIWA HURU, CHRIS BROWN AZIDI KULA BATA NA MPENZI WAKE, AMKANDIA RIHANNA (PICHA)
https://jaridahuru.blogspot.com/2014/06/burudani-baada-ya-kuachiwa-huru-chris.html
Mwanamuziki wa Merakani aliyeachiwa hivi karibuni, Chris brown ameendelea kula bata katika maeneo mbali mbali ya starehe akiwa na mpenzi wake Karrueche Tran, ikiwa ni kama tiba ya msongo wa mawazo aliokuwa nao akiwa gerezani.
Katika maongezi, Chris amesema kuwa anampenda mpenzi wake wa sasa na kudai kuwa ni mwanamke wa tofauti mwenye uvumilivu akilinganishwa na mpenzi wake wa zamani, Rihanna.
Katika maongezi, Chris amesema kuwa anampenda mpenzi wake wa sasa na kudai kuwa ni mwanamke wa tofauti mwenye uvumilivu akilinganishwa na mpenzi wake wa zamani, Rihanna.