jaridahuru

Mitandao

AFYA: MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA DUNIANI, WANANCHI WASISITIZWA KUZINGATIA SHERIA ZA MAZINGIRA

Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema ambaye alimwakilisha mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki (katikati) akipokea maandamano ya wadau mbalimbali wakati wa maadhimisho ya kilele cha wiki ya mazingira jijini Dar es salaam.Kulia ni Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa.


Baadhi ya wananchi na wanafunzi kutoka shule mbalimbali za jiji la Dar es salaam wakiwa kwenye maandamano huku wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali wakati wa kilele cha wiki ya mazingira duiniani leo.


Kikundi cha ngoma za asili kutoka shule ya msingi Umoja kikitoa burudani wakati wa maadhimisho ya wiki ya Mazingira yaliyofanyika katika uwanja wa Mnazimmoja jijini Dar es salaam.


  


Baadhi ya wafanyakazi na wadau wanaojihusisha na shughuli za usafi na usimamizi wa mazingira jijini Dar es salaam wakiwa na zana zao za kazi wakati wa maadhimisho ya wiki ya Mazingira yaliyofanyika katika uwanja wa Mnazimmoja jijini Dar es salaam

Related

Jamii 4611705631294180379

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item