jaridahuru
https://jaridahuru.blogspot.com/2016/06/bwawa-la-mwanzugi-lakabiliwa-na-uchafuzi.html
BWAWA la Mwanzugi lililopo Wilayani Igunga,ambalo limekuwa likitumika
kwa ajili ya matumizi ya binadamu na mifugo linakabiliwa na changamoto
kadhaa ikiwemo uvamizi na uchafuzi unaofanywa.
Kutokana na hali hiyo kina cha bwawa hilo kinadaiwa kupungua kutokana
na kuingia kwa uchafu na hivyo kuhatarisha mustakabali wake na
kuhatarisha maisha ya wananchi ambao wanalitegemea sana Bwawa hilo
katika maisha yao ya kila siku.
Meneja wa Sikumu ya uwagiliaji ya Mwamapuli,Robert Lufunga anasema
baadhi ya wananchi wanalima jirani na Bwawa hilo na kuhatarisha usalama
wake.
Mwenyekiti wa skimu ya Umwagiliaji ya Mwamapuli Edson Ntumo anasema
pamoja na changamoto mbalimbali jitihada zinafanyika kulinuru Bwawa
hilo.
Bwawa la mwamapuli linatumiwa katika kusambaza maji Mjini Igunga huku
pia likitumiwa na mifugo pamoja na wakulima wa skimu ya mwamapuli.
Related
FILAMU: FILAMU YA LUCY YAONGOZA KWA MAUZO MAREKANI
Muigizaji maarufu aliyecheza filamu ya ‘LUCY’ Scarlett Johansson amezidi kutishia mauzo ya filamu Duniani baada ya kuongoza kwa mauzo nchini Uingereza na Ireland kwa kuuza paundi 3m huku ik...
KITAIFA: TUME YA HAKI ZA BINADAMU YAIOMBA SERIKALI KUCHUKUA HATUA KALI DHIDI YA WAUAJI WA ALBINO
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB) imeiomba Serikali kufanya jitihada kubaini wanaofadhili na kutekeleza vifo vya Albino.Kwa mujibu wa Kamishna wa Tume hiyo Ali Hassan Rajab...
SIASA: KIU YA URAIS 2015 YAMPONZA PINDA, JUKWAA LA KATIBA LADAI IMEZOROTESHA UTENDAJI SERIKALINI
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ametangaza nia ya kutaka urais mwaka 2015. Kufuatia Waziri mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda kutangaza kuwania Urais mwakani hatimaye jukwaa la katiba limeto...
Newer Post
HISTORIA YA MWANAHARAKATI STEVE BIKO
Post a Comment

:noprob:

:smile:

:shy:

:trope:

:sneered:

:happy:

:escort:

:rapt:

:love:

:heart:

:angry:

:hate:

:sad:

:sigh:

:disappointed:

:cry:

:fear:

:surprise:

:unbelieve:

:shit:

:like:

:dislike:

:clap:

:cuff:

:fist:

:ok:

:file:

:link:

:place:

:contact:
Tabs
Za JuuMitandaoPiga Kura
Za Juu
-
Mmoja wa waasisi wa mtandao wa kijamii wa Instagram, amesema kuwa sheria zake kuhusu picha za uchi hazimbagui mtu yeyote. Kampuni hi...
-
Dar es Salaam. Harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015 zimeanza. Polisi wameanza mafunzo yatakayowaongezea uwezo wa kusimamia uchagu...
-
AMA kweli kufa kufaana! Lile bifu zito lililokuwa likitokota kati ya wapendwa wawili, Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu na mwi...








