jaridahuru

Mitandao

BWAWA LA MWANZUGI LAKABILIWA NA UCHAFUZI!

 

BWAWA la Mwanzugi lililopo Wilayani Igunga,ambalo limekuwa likitumika kwa ajili ya matumizi ya binadamu na mifugo linakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo uvamizi na uchafuzi unaofanywa.

Kutokana na hali hiyo kina cha bwawa hilo kinadaiwa kupungua kutokana na kuingia kwa uchafu na hivyo kuhatarisha mustakabali wake na kuhatarisha maisha ya wananchi ambao wanalitegemea sana Bwawa hilo katika maisha yao ya kila siku.

Meneja wa Sikumu ya uwagiliaji ya Mwamapuli,Robert Lufunga anasema baadhi ya wananchi wanalima jirani na Bwawa hilo na kuhatarisha usalama wake.

Mwenyekiti wa skimu ya Umwagiliaji ya Mwamapuli Edson Ntumo anasema pamoja na changamoto mbalimbali jitihada zinafanyika kulinuru Bwawa hilo.

Bwawa la mwamapuli linatumiwa katika kusambaza maji Mjini Igunga huku pia likitumiwa na mifugo pamoja na wakulima wa skimu ya mwamapuli.

Related

Habari Mpya 2914912622389262324

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item