jaridahuru

Mitandao

JAMII: UKATILI WAENDELEA KUITESA TANZANIA! AMUUA MKEWE KWA KUMCHOMA VISU HUKO TABORA



Marehemu Zuhura Juma (31) baada ya kuuliwa na mumewe.Na Leah Marco, TABORA/Uwazi 

DUNIA inazidi kwenda kubaya! Mwanaume aliyejulikana kwa jina la Maulid Mussa (35), mkazi wa Kijiji cha Igoko wilayani Uyuwi, Tabora anashikiliwa na jeshi la polisi kwa madai ya kumuua mkewe, Zuhura Juma (31) kwa kumchoma visu sehemu mbalimbali za mwili. 

Tukio hilo la kusikitisha lilitokea saa tisa usiku wa kuamkia Jumatatu ya Januari 12, mwaka huu katika Kijiji cha Usagala Kata ya Magengati Tarafa ya Puge wilayani Nzega, Tabora nyumbani kwa wazazi wa mwanamke huyo. 

Kwa mujibu wa chanzo chetu, Maulid alifikia uamuzi huo mgumu baada ya mkewe kumuuliza habari alizozisikia kuwa aliuza shamba la tumbaku la familia bila yeye kujua hali ambayo haikumpendeza mwanaume huyo

Related

Jamii 7769066501358492322

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item