GOSSIP: WEMA AMREPLACE RASMI D.(!).MO PLATNUMZ, NA ALLY DAXX..ADAI KWA DIAMOND ALIPOTEA NJIA TU!

https://jaridahuru.blogspot.com/2015/01/gossip-wema-amreplace-rasmi-dmo.html
Kwa kile kilichotegemewa kutoka kwa Miss Tanzania wa zamani kumreplace mpenzi wake wa zamani kwa muda mfupi kama kawaida yake, Imeripotiwa Rasmi kuwa sasa ni zamu ya mwanamitindo mtanzania anayeishi Kwa Madiba aka Bondeni Sauzi anayejulikana kama Ally Daxx.
Alipoulizwa kuhusu swala hili, alikana na kudai kuwa hawajaonana kwa muda mrefu.
Swali ni kuwa Je? ni kawaida yake kama alivyodai Diamond kuwa anapenda magazeti au ni kweli?
Hebu Tusubiri labda tutajua ukweli na je ni kweli kuwa hapendi kufanya mapenzi na maboyfriend wake.
Swali la mwisho aliloulizwa lilikuwa kama huwa anapima akipata new Kifua..
"Sikumbuki hata mara ya mwisho kupima!.." Seriously? Ila ndo alivyojibu..