jaridahuru

Mitandao

GOSSIP: WEMA AMREPLACE RASMI D.(!).MO PLATNUMZ, NA ALLY DAXX..ADAI KWA DIAMOND ALIPOTEA NJIA TU!




Kwa kile kilichotegemewa kutoka kwa Miss Tanzania wa zamani kumreplace mpenzi wake wa zamani kwa muda mfupi kama kawaida yake, Imeripotiwa Rasmi kuwa sasa ni zamu ya mwanamitindo mtanzania anayeishi Kwa Madiba aka Bondeni Sauzi anayejulikana kama Ally Daxx.

Alipoulizwa kuhusu swala hili, alikana na kudai kuwa hawajaonana kwa muda mrefu.

Swali ni kuwa Je? ni kawaida yake kama alivyodai Diamond kuwa anapenda magazeti au ni kweli?

Hebu Tusubiri labda tutajua ukweli na je ni kweli kuwa hapendi kufanya mapenzi na maboyfriend wake.

Swali la mwisho aliloulizwa lilikuwa kama huwa anapima akipata new Kifua..

"Sikumbuki hata mara ya mwisho kupima!.." Seriously? Ila ndo alivyojibu..

Related

Michezo 1259105338346576734

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item