jaridahuru

Mitandao

GARI LATEKETEA KWA MOTO LIKIWA KWENYE FOLENI JIJINI DAR.



Image00001

Saa chache zilizopita katika Barabara ya Kawawa, Ilala Dar imetokea ajali ya moto, gari ndogo imewaka moto lakini hakuna mtu aliyeathirika kutokana na tukio hilo.
Mmiliki wa gari hilo Johns amesema alishtukia watu wakimuita kwamba gari yake inawaka moto kwa sehemu ya chini lakini hajajua kama moto huo kuna sehemu aliukanyaga au ni shoti iliyotoka kwenye gari hiyo.
Kikozi cha Askari wa zimamoto walifika na kuuzima moto huo lakini gari hilo lilikuwa tayari limetekea kwa moto.
Hizi ni picha za tukio hilo.
Image00001
Image00002
Image00003
.
Watu wakiwa wamelizunguka gari hilo baada ya kuwaka moto.
Image00005

Related

Kitaifa 8354383083449194482

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item