jaridahuru

Mitandao

SOKA-BONGO: WAKATA MIWA KAGERA SUGAR WAPOKEA KIPIGO CHA 1-0 KUTOKA KWA MGAMBO.

Kikosi cha Kagera Sugar

Klabu ya Mgambo JKT kutoka mkoani Tanga leo imewapigisha kwata wakata miwa wa Bukoba Kagera Sugar kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa ufunguzi wa ligi iliyochezwa katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

Kagera sukari wamejikuta wakipokea kipigo hicho cha maumivi ya uchungu kutoka kwa maafande hao baada ya kushuka uwanjani kuzisaka pointi 3 za ligi kuu ya Vodacom lakini walishia kuziona zikipeperuka na kutua kwa wenyeji wao.

Mgambo katika msimu uliomalizika wa 2013/2014 iliponea chupu chupu kurudi ilikotoka kwa kushuka daraja na kuwaacha ndugu zao Rhino Rangers, Ashanti United pamoja na JKT Oljoro.

Related

Sports 8107863726706796291

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item