MICHEZO: TAIFA STARS YATOA SULUHU YA 2 - 2 NA BLACK MAMBAS YA MSUMBIJI, KHANIS MCHA APACHIKA YOTE 2

https://jaridahuru.blogspot.com/2014/07/michezo-taifa-stars-yatoa-suluhu-ya-2-2.html
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta
akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Msumbiji katika mchezo uliofanyika
kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mbwana Samatta akiwatoka mabeki wa timu ya taifa ya Msumbiji.