jaridahuru

Mitandao

KITAIFA: MAJINA YA WATU 70 WALIOFAULU KATI YA WATU 20,000,000 NAFASI ZA MKAGUZI MSAIDIZI IDARA YA UHAMIAJI

 
TANGAZO KUITWA KWENYE AJIRA
NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (ASSISTANT INSPECTOR OF IMMIGRATION)
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, anawatangazia wafuatao waliofaulu usaili wa kujaza nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatakiwa kuripoti Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Mtaa wa Loliondo Kurasini, Dar es Salaam tarehe 29 Julai 2014, saa 2:00 asubuhi. Aidha, wahusika wote wanaelekezwa kufika kwa wakati wakiwa na vyeti halisi vya masomo na vya kuzaliwa.
Na 
1 Abel Md. Maganya
2.Absolum Stafford Bashigwa
3 Agnes P. Mlay 
4 Ali Musa Abdallah 
5 Angela Kagaruki 
6 Antony J. Nyagilo 
7 Asteria Kiyanga
8 Awadhi Issa 
9 Aziza Kaku 
10 Bakari M. Khamis 
11 Baraka Estomihi 
12 Beatrice K. John 
13 Bernard K. Mwampashe
14 Binasra J. Sabri 
15 Charles M. Swai 
16 Cosmas J. Mbuguni 
17 Dativa J. Ndyetabura
18 David Muna 
19 Doroth Ngai 
20 Dotto Tabu
21 Emmanuel Gelison 
22 Ezekiel A. Kibona 
23 Fahamu Saidi 
24 Farida Sued
25 Felix Mkemwa
26 Forget N. Charles
27 Frida N.Masomhe
28Gabriel M. Kamugisha
29 Gath E. Nyansambo
30 Gerald Moses 
31 Gideon Kihoko
32 Godson Mwanawima
33 Grace C. Nyarata
34 Hamza Sanga 
35 Hassan A. Mziray 
36 Ibrahim Ally
37 Idd Mgoi 
38 Joachim Joseph 
39 John G. Mgayambasa
40 Joseph Gregory 
41 Kennedy John
42 Khamis Moh'd Khamis
43 Kombo M. Ame 
44 Kwame Charles 
45 Lawi E. Kumburu 
46 Mabrouk H. Thabit 
47 Mangunda A. Kaporo 
48 Marco Zacharia
49 Maria Agapith
50 Mateso Msigala
51 Meshack Mwaisela
52 Michael John
53 Miriam Mwakamele
54 Mlalama Fortinatus Amlima
55 Mussa Hemedi
56 Mwita Mwikwabe
57 Neema R. Mrope
58 Nyangoma Martin
59 Oscar Philip
60 Pasaka Wilson
61Pastory Packshard Mkongwa
62 Reagan H. Kawa
63 Rose Nseka
64 Senga Ally
65 Silvia Ngasoma
66 Sixtus Stephano Burashahu
67 Steven L. Kweka
68 Wendy Y. Mwalukasa
69 Witness Lwambo
70 Zulu P. Charles

Aidha, ni muhimu kufahamu kuwa uchaguzi wa walioitwa kwenye ajira umezingatia yafuatayo:
• Vipaumbele vya Idara ya Uhamiaji;
• Kutoa nafasi kwa waombaji kutoka Zanzibar;
• Ufaulu kuanzia alama 50 asilimia na kuendelea;
• Jinsia
Wasailiwa ambao majina yao hayamo kwenye orodha hii wafahamu kuwa hawakufanikiwa.
Atakayesoma tangazo hili amjulishe na mwenzake.
Tangazo hili limetolewa na:
Katibu Mkuu
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
4 Mtaa wa Ohio
11483 Dar es Salaam

Related

Kitaifa 5184561135026636626

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item