Moto Mkubwa umezuka na kuunguza mali za wanafunzi na chuo kikuu cha Dodoma maarufu kama UDOM. Moto huo umezuka katika kitengo cha sanaa na lugha (College of Humanities).
Hata Hivyo chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Tutaendelea kukujuza kwa kadri habari zitakavyotufukia.