SIASA: BAADA YA AMSHA AMSHA ZA UKAWA, TUNDU LISSU AWAHASA WANANCHI KUGOMBEA NAFASI ZA SERIKALI ZA MITAA
https://jaridahuru.blogspot.com/2014/06/siasa-baada-ya-amsha-amsha-za-ukawa.html
Mbunge wa
singida mashariki tundu lissu (Chadema)akihutubia mkutano wa hadhara
kwa wakazi wa kihesa sokoni leo jioni ambapo pamoja na mambo mengine
aliwaomba wananchi kujitokeza katika kujiandikisha katika daftari la
kudumu la wapigakura na hatimaye kugombea nafasi mbalimbali katika
uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwaka huu.Kulia ni
mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa.

"TUNATEMBEZA BAKULI" Wakazi wa Kihesa wakijitolea kuchangia chama wakati Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu akipita na boksi kuchangisha michango kwa ajili kuwezesha kufanya mikutano mbalimbali ya kata jimbo la iringa mjini.Mwenye shilingi mia haya, mwenye mia tano haya....

.jpg)