jaridahuru

Mitandao

SIASA: BAADA YA AMSHA AMSHA ZA UKAWA, TUNDU LISSU AWAHASA WANANCHI KUGOMBEA NAFASI ZA SERIKALI ZA MITAA




Mbunge wa singida mashariki tundu lissu (Chadema)akihutubia mkutano wa hadhara kwa wakazi wa kihesa sokoni leo jioni ambapo pamoja na mambo mengine aliwaomba wananchi kujitokeza katika kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapigakura na hatimaye kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwaka huu.Kulia ni mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa.


lisuuu_06762.jpg

"TUNATEMBEZA BAKULI" Wakazi wa Kihesa wakijitolea kuchangia chama wakati Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu akipita na boksi kuchangisha michango kwa ajili kuwezesha kufanya mikutano mbalimbali ya kata jimbo la iringa mjini.Mwenye shilingi mia haya, mwenye mia tano haya....

Related

Siasa 8310165783804821957

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item