jaridahuru

Mitandao

KIMATAIFA: JAMHURI YA AFRICA YA KATI YAPIGA MARUFUKU 'SMS', HAIRUHUSIWI KUTUMA AU KUPOKEA UJUMBE WA SMS

 
Wakati Tanzania kukiwa na kampeni ya kukomesha tabia za kusambaza ujumbe mbaya kwa simu ya mkononi au mtandaoni tuliyoipa jina la ‘Delete Futa Kabisa’, serikali ya Jamhuri ya Afrika Magharibi imeamua kupiga marufuku kabisa kutumiana ujumbe wowote.
 
Uamuzi huo umekuja kutokana na sababu zilizotajwa kama ni kuhakikisha ulinzi na usalama baada ya kupitia katika kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja wakiwa katika vita ya kidini.
 
Serikali ya nchi hiyo imetoa tamko rasmi baada ya waandamanaji kufurika katika mitaa ya mji mkuu, Bangui huku wakihamasishana kupitia jumbe za simu za mkononi kufanya maandamano  makubwa zaidi.
 
Waandamanaji hao wanataka serikali ya mpito ya nchi hiyo iliyoingia madarakani January mwaka huu kujihuzuru.
 
Vita ya kidini nchini humo ilianza mwaka jana baadaya Michel Djotodia aliyekuwa  raisi wanchi hiyo ambaye ni muumini wa dini ya kiislamu kujihuzuru na kukabidhi madaraka kwa watu wengi nchini humo ambao ni waumini wa imani ya kikristo.

Related

Kimataifa 3557563408710327940

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item