jaridahuru

Mitandao

BURUDANI: AMBASIA MALIY ATWAA TAJI LA REDD'S MISS TABATA 2014 NA KUMRITHI DORIS MOLEL WA 2013

 Redd's Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akitabasamu baada ya kutangazwa  rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata.
Redd's Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akipunga mkono kwa mashabiki wake muda
mfupi baada ya kutawazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha
Tabata, Shindano hilo lilifanyika kwenye Ukumbi wa Da'west Park,Tabata
jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia jumamosi.Wengine pichani ni
Mshindi wa Pili wa shindano hilo,  Faudhia Feka (kulia) pamoja na Mshindi
wa Tatu, Ramta Mkadara .

 
 Redd's Miss Tabata aliemaliza muda wake, Doris Molel (alieketi) akisuburi kutangazwa kwa mrithi wake

Related

Michezo 5343627204429835800

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item