jaridahuru

Mitandao

ELIMU: BODI YA MIKOPO YAZINDUA TAWI JIPYA KATIKA MKOA WA MWANZA

DSC_0455
 
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Baraka Konisaga akitoa cheti kwa mmoja wa wanufaika wa mikopo aliyemaliza kurejesha mkopo wake mara baada ya uzinduzi wa ofisi ya HELSB Kanda ya Ziwa katika hafla ya  iliyofanyika jijini Mwanza katika jengo la PPF Tower ghorofa ya pili wiki iliyopita.
 
1
 
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Baraka Konisaga akihutubia wageni waalikwa katika hafla ya ufunguzi wa ofisi ya Kanda ya HESLB
 
  DSC_0357
 
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Baraka Konisaga akitia saiani kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwa ajili ya ufunguzi wa ofisi ya Kanda ya HESLB
 
 DSC_0386
 
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Nd. Asangye Bangu akisoma salaam za makaribisho kwa mgeni rasmi Mh. Baraka Konisaga – Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza

Related

Habari Mpya 80362085826147540

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item