jaridahuru

Mitandao

BURUDANI: MAJANGA!! HUSNA NAE ATANGAZA KUWA YUKO TAYARI KUMPA PENZI MWANAUME YEYOTE MWENYE HELA

Husna mwigizaji wa Filamu

MWIGIZAJI wa kike wa filamu Bongo Husna Chobis ‘Awena’ amesema kuwa baada kurudi katika biashara zake nje ya nchi yupo tayari kuolewa lakini kwa mtu mwenye fedha na si mbabaishaji ambaye hawezi hata kumiliki Bajaji hamuitaji, lakini kwa wale ambao wanaona wanajiweza kuwa wachapakazi na wanapata fedha ya kubadilisha mboga.

Husna katika pozi
Husna katika pozi
Husna Chobis
Husna Chobis

“Kuzaliwa katika familia ya kimaskini ni bahati mbaya, lakini kuchagua mume maskini ni uzembe na haustaili msamaha, ukitembea unajifunza mambo ya mastaa wa Ulaya wanavyoishi wanapotaka kuolewa wanatafuta wanaokwenda nao kimaslahi, hata mimi nahitaji mtu wa kueleweka na kipato pia,”anasema Husna.

Mwigizaji huyo aliyejizolea umaarufu katika filamu za kiasili hasa filamu ya Ndase, anasema moja ya matatizo ya ndoa za kitanzania au kiafrika ni kukosa uchaguzi na kuingia katika uhusiano wa kupotezeana muda kisha kutengana kutokana na kuwa uzembe wa kukosa maamuzi kutoka kwa wanawake wengi.

Related

Burudani 5201719503745556055

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item