jaridahuru

Mitandao

BURUDANI: BABY MADAHA ANOGEWA NA PENZI LA DIAMOND, ASEMA WEMA AKAE KANDO NAE ALE MARAHA

 


Star wa filamu na muziki wa Bongoflava Baby Madaha anadaiwa kuwewesekea penzi la Diamond Platnumz na kumtaka Wema Sepetu awaachie na wao Diamond a.k.a Sukari ya warembo ili wafaidi kama anavyojiachia. 

Chanzo kimoja kilicho karibu na Baby Madaha ambacho pia kinafanya juu chini kuwika katika filamu kwa masharti ya kutotajwa jina lake kikizungumza na Swahiliworldplanet wiki iliyopita kilisema kuwa:
“Nawapa habari, Baby Madaha anamtaka Diamond hata kule kumponda kwenye media sio kwa dhati ni njia ya kumshawishi amtongoze. 
Staa wa filamu Bongo, Baby Madaha
Staa wa filamu Bongo, Baby Madaha

“Sikia nikwambie, katika Kill Awards (mwaka huu) Madaha alikuwa na lengo la kumbusu Diamond kwa stage lakini  alikuwa anamhofia Wema na Team Wema wangeweza kuja juu ikawa habari mpya…
“Anamtaka ila anashindwa tu kusema wazi, unajua Wema anambana sana Diamond, anataka Wema amwachie” kilisema chanzo hicho huku kikisisitiza kuwa kisitajwe jina lake .

Related

Michezo 6140257339946843559

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item