jaridahuru

Mitandao

BUNGENI: NDEGE ZINAZOVINJARI ANGA LA ZIWA NYASA ZATOLEWA UFAFANUZI, KUMBE ZILITOKEA DODOMA


Dr. Mwakyembe
Baada ya mbunge wa ileje, Aliko Kibona, kuitaka serikali kutoa majibu ya sababu ya kuruhusu ndege za Malawi kuvinjari katika anga la Tanzania eneo la ziwa nyasa na kuwatishia wakazi wa eneo hilo,

Serikali kupitia kwa waziri wa Uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe amewaondoa hofu wananchi hao kwa kusema kuwa Ndege hizo zimekodiwa kutoka Tanzania na zimepata vibali vyote toka mamlaka ya safari za anga TCAA.

Hata hivyo amewapongeza wananchi kwa kuwa makini na tayari kutoa taarifa juu ya usalama wa nchi yao.

Related

Habari Kuu 5795356967920821347

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item