jaridahuru

Mitandao

ELIMU: UMOJA WA WAKE WA VIONGOZI WATOA MSAADA WA VITABU VYENYE THAMANI YA MILIONI 35


 Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda  akipokea  vitabu vyenye thamani ya shilngi milioni 35  kutoka kwa Meneja  Mkuu wa kituo cha kuendeleza vipaji kwa vijana THT Bwana Mwita Mwaikenda na anaye shuhudia ni Mwenyekiti wa chama cha wake wa viongozi Germina Lukuvi msaada huo wa vitatabu ni kwaajili ya kusaidia Elimu kwa watoto na vijana wenye ulemavu wa ngozi (ALIBINO) sherehe hiyo ya makabidhiano imefanyika katika makazi ya waziri mkuu jijini Dar es salaam Picha na Chris Mfinanga. 




Picha ya pamoja ya wake wa Viongozi na wafanyakazi wa THT.

Related

JKT: UTARATIBU WA KUJIUNGA KWA MUJIBU WA SHERIA KWA WALIOMALIZA MEI 2014

AWAMU YA KWANZA; Vijana 20,000 wataripoti kwenye makambi ya mafunzo ya JKT kuanzia tarehe 01 Juni 2014 na kuanza rasmi mafunzo yao tarehe 08 Juni 2014 na kumaliza tarehe 04 Septemba 2014. Oro...

JH STORY: NAOGOPA KU 'CHEAT' NISIJE UMIZWA

1999, Himo - Kilimanjaro Nilikuwa nimemaliza Chuo Kikuu cha Mlimani wanavyokiita watoto wa siku hizi. Enzi zetu ilikuwa ‘The University of Dar es salaam’ na heshima zote kijijini mtoto ...

JH STORY: NILIVYO AMBUKIZWA UKIMWI (DAR)

TABATA October 06, 2009 Siku ya Jumanne. Background: Nilikuwa nimemaliza zangu chuo MUCCoBS kozi ya BAF na kufanikiwa kupata GPA nzuri tu ya 4.2. Nilikuwa na matumaini na ndoto nyingi za mbe...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item