jaridahuru

Mitandao

JAMII: KITOTO CHATUPWA MAENEO YA UDOM..YASEMEKANA BINTI WA CHUO


Wakati akina mama wengine wanakesha wakimuomba Mungu awabariki na watoto wengine wakikesha kwa sangoma nao wanaomba kupata watoto.

Huyu mdada ameushangaza umma na kuwaacha watu midomo wazi baada ya kujifungua kitoto na kukitupa.

Tukio hilo limetokea maeneo ya chimwaga katika chuo kikuu cha Dodoma maarufu kama (UDOM).
Hata hivyo baadhi ya mashuhuda wanadai kuwa wanahisi huenda kitendo hicho cha kikatili kimefanywa na dada mmoja (jina tunalihifadhi) ambaye alikuwa mja mzito na sasa anaonekana hana uja uzito na akiwa hoi chumbani kwake.

Tulipomfuata na kumhoji alidai kuwa yeye sio mjamzito wala hajawahi kupata ujauzito, na kuhusu afya yake alidai kuwa yuko kwenye hedhi na kama alivyo ada ya kila mdada.

Related

Jamii 7714748309729155858

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item