jaridahuru

Mitandao

WC 2014: RAISI WA FIFA NA MARADONA WAIPONDA TUZO ALIYOPEWA, WASEMA HAKUSTAHILI TUZO HIYO

 

Rais wa Fifa Sepp Blatter amesema ameshangazwa kuwa Lionel Messi alishinda tuzo ya mchezaji bora - Golden Ball Award- katika Kombe la Dunia.

Messi, 27, alitajwa kuwa mchezaji bora wa michuano hiyo licha ya timu yake Argentina kufungwa 1-0 na Ujerumani kwenye mchezo wa fainali Jumapili mjini Rio de Janeiro.

 Nilishangazwa kidogo nilipoona Messi anakuja kupokea tuzo ya mchezaji bora

amesema Blatter, ambaye alikabidhi tuzo hiyo.

Naye mkongwe wa Argentina Diego Maradona ameita tuzo hiyo kuwa "si haki".
Tuzo ya mpira wa dhahabu ya mchezaji bora na ya kipa bora hupigiwa kura na kamati ya ufundi ya Fifa inayojumuisha kamati ya wachambuzi.
Tuzo ya mchezaji chipukizi ilikwenda kwa Paul Pogba wa Ufaransa.

Related

Worldcup 2014 2205547822367903602

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item