BREAKING NEWS: KANISA NA MORAVIAN TZ JIMBO LA KUSINI MAGHARIBI LAFUNGWA LEO. WAMTAKA ASKOFU AJIUZULU
https://jaridahuru.blogspot.com/2014/07/breaking-news-kanisa-na-moravian-tz.html
Kwa kile kinachodaiwa kuwa ni madai ya kutoridhishwa na Askofu wa Kanisa hilo, Alinikisa Cheyo, Waumini wa kanisa hilo wameitisha inodi ili kuamua tuhuma dhidi ya askofu huyo.
Kitendo hicho ambacho sio cha kawaida hasa kwa kanisa la kilokole, limeandikwa katika historia ya makanisa ya kilokole nchini.
Tutazidi kukupa taarifa zaidi kwa kadri zitakavyo tufikia.