jaridahuru

Mitandao

TANZIA: MAMA ZITTO AFARIKI DUNIA, FAHAMU CHANZO CHA KIFO CHAKE

Taarifa za Kusikitisha zimekigubika chumba cha habari cha Jarida Huru, Taifa na Dunia kwa ujumla kwa kuondokewa na mwanaharakati wa wanawake ambae pia ni mama yake mzazi Zitto Kabwe. 

Marehemu alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania, (Chawata), Shida Salum, alilazwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Ami, Masaki, Dar es Salaam akisumbuliwa na maradhi ya saratani.

Shida ambaye ambae pia alikuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Alianza kusumbuliwa na maradhi hayo mapema Agosti mwaka jana lakini hali yake ilibadilika mapema mwaka huu akiwa mjini Dodoma akisubiri kuapishwa pamoja na wajumbe wengine wa Bunge Maalumu la Katiba.

Mheshimiwa Zitto amethibitisha kifo hicho katika 'tweet' yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram iliyosema ; "Mama yangu amefariki dunia" na kuomba dua.






Related

Kitaifa 2807334904736030283

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item